Zindgi ki haqiqat aj kuch is trah nazron ke samne byan hui
Aankhe chhalak gai hum so na sake
Aaj raste me Jo mayusi dekhi kisi muflis ke chehre pe
Qayamt kuch yun Dil pe berpa hui kuch keh na sake
Narm bister pe jb hum sukun se sote h
Na Jane kitne zaeef raston pe tanha rote hai
Kuch alfazo se Inka dard byan na kr Paungi
Per Jo mehsus Kiya aaj smjh ni aya unke liye alfaz kaha se laungi.....
Categories:
sote, 1st grade, cry, deep,
Form: I do not know?
KENYA
Ndege ya unyanyapaa inapaa,
kila siku ni balaa.
Alaa,
alaa!
Hamna kazi,
swali hili ni wazi.
Haya sio maneno tu,
bali ni kilio cha waja.
Wengi wanaodhulumiwa,
kilio ni cha haki!
Tumechoka na uhuni,
unaokiuka kanuni.
Vyakula,
bei ghali!
Maisha yetu yamo mnadani,
dalali mate yanamdondoka!
Sisi sote ni binadamu,
ni wakati.
Tuungane,
tuimarishe nchi yetu.
Kenya,
ni yetu sote.
IAN MUNYWE©
Categories:
sote, class, conflict, discrimination, humanity,
Form: Free verse