Nasikika Nikisema
Mpenzi, mbona wanitupilia mbali?
Na kuniacha katika ziwa la mashaka,
Kisha nikapata mawazo kwamba,
Nasikika nikisema
Labda kuna sababu,
Kuhusu hilo jambo,
Lakini ikiwa ni hivyo,
Nasikika nikisema
Hatua fanya nipate furaha,
Mpenzi, kwani kwangu kusikia uzoefu,
Angalau ningeambiwa nini kiendeleacho.
Nasikika nikisema
Copyright © Masereka Amos | Year Posted 2013
Post Comments
Poetrysoup is an environment of encouragement and growth so only provide specific positive comments that indicate what you appreciate about the poem. Negative comments will result your account being banned.
Please
Login
to post a comment