Get Your Premium Membership

Hayakuhusu Anayekubusu

Nakwambia ndugu Masanja kwani yanakuhusu anaye nibusu?

Kwani nauliza, lazima nije kwako niombe uniruhusu?

Mwaka Juzi nilijaribu kufanya hivyo, ndani kwako ukanitoa na kisu

Ukawaonya majirani na ndugu wakae mbali na mimi maana akili zangu nusu

Kweli ndugu yangu , leo unataka nije kwako uniruhusu?

 

  

Kwani wewe, lini umekuwa wangu mtu?

Wakunisimanga na kulikemea nakula vyako vitu?

Wakati unanipa ulisema hivi vyote vya kwetu!

Angalia tumi macho twako kama chatu

Unaki mbelembele kama fyatu

Sitaomba wala kutaka vyako vitu

Nilijaribu na kuapa sito kuja kuthubutu

Nakwambia Ndugu yangu, hayakuhusu anaye nibusu!

Copyright © | Year Posted 2016




Post Comments

Poetrysoup is an environment of encouragement and growth so only provide specific positive comments that indicate what you appreciate about the poem. Negative comments will result your account being banned.

Please Login to post a comment

A comment has not been posted for this poem. Encourage a poet by being the first to comment.


Book: Radiant Verses: A Journey Through Inspiring Poetry